Aliyewahi kuwa mchezaji wa Yanga Fiston Kalala Mayele amefunga magoli mawili na kuisaidia Pyramids kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kufuatia ushindi wa jumla wa 3-2 dhidi ya…
Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekabidhiwa fimbo maalumu ya heshima na familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere akiwa ziarani katika kijijini Mwitongo, Butiama alipozaliwa Mwalimu…
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya shilingi bilioni 148.6 ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Kati ya fedha hizo, shilingi…
Mwanasiasa na Wakili kutoka Kenya Martha Karua amewasili nchini kwa ajili ya kuwa sehemu ya utetezi wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu Akizungumza na waandishi wa…
Serikali ya Benin imekiri kuwa wanajeshi 54 waliuawa na watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi kaskazini mwa nchi hiyo wiki iliyopita karibu na mpaka wa Burkina Faso na Niger. Mamlaka hapo awali…
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ( Congo-DRC) na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wamekubali kusitisha mapigano mashariki mwa nchi hiyo hadi mazungumzo ya amani yaliyopatanishwa na Qatar yafikie…
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo, ameliomba radhi Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na majibizano ya hoja yaliyotokea leo, Aprili 23, 2025 kati yake na Waziri wa…
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema) John Heche ameomba mahakama kuweka spika ili wapenzi na wanachama wa chama hicho wafuatilie kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa…
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepitisha bajeti ya shilingi trilioni 11. 783 ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na taasisi…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo Aprili 22, 2025 amewasili mkoani Arusha kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tano . Akiwa katika ziara…