Senegal imeweka rekodi ya kuipa kipigo cha magoli 3-1 timu ya taifa ya Uingereza na kumpa wakati mgumu kocha mkuu Thomas Tuchel. Uingereza ililala kwa kipigo hicho katika mechi ya…
Brazil na Ecuador wamejihakikishia nafasi zao kwenye Kombe la Dunia la 2026 Jumanne, wakichukua nafasi ya pili na ya tatu kati ya sita za kufuzu moja kwa moja kutoka bara…
Mwanablogu Mkenya aliyefariki akiwa mikononi mwa polisi alipigwa kichwani na huenda kifo chake kilisababishwa na kushambuliwa, uchunguzi wa maiti umefichua. Hii inakinzana na madai ya polisi kwamba Albert Ojwang "alipata…
Katika kile kinachoonekana kuwa Yanga huenda ikapoteza pointi kwa kukataa kucheza katika mchezo wa dabi dhidi ya mahasimu wao Simba, klabu ya Yanga imesema kuwa kufanya hivyo haitakuwa jambo jepesi.…
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Kenya ni mzuri na…
"Takwa letu la tatu ni kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidao kwa kushindwa kuchukua hatua dhidi ya maamuzi mabovu ya mara kwa mara ya waamuzi.," " Kamati ya…
Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kuwa mnamo Juni 7, 2025 ilipokea barua kutoka Bodi ya Ligi Kuu Tanzania kwa ajili ya kuhudhuria kikao maalum cha kujadili masuala yahusuyo mchezo namba…
Kampuni ya Compact Energies inayoshiriki katika maonesho makubwa zaidi ya kimataifa ya utalii na sekta ya viwanda Afrika Mashariki ya Arusha KILIFAIR yanayofanyika kwenye Viwanja vya Magereza jijini Arusha imesema…
Kocha wa Italia Luciano Spalletti amesema kuwa mechi ya Jumatatu ya kufuzu kwa Kombe la Dunia dhidi ya Moldova itakuwa mechi yake ya mwisho . Spalletti alikuja kukosolewa baada ya…
Kylian Mbappe alifunga bao na kutoa pasi muhimu wakati Ufaransa ilipoilaza Ujerumani 2-0 katika mechi ya medali ya shaba ya Ligi ya Mataifa mjini Stuttgart Jumapili. Mbappe alionesha uchawi wake…